https://kiswahili.tuko.co.ke/familia/507978-mke-wa-meru-amevunjika-moyo-baada-ya-mumewe-wa-miaka-13-kupotea-ameniacha-mjamzito/
Meru: Mke Avunjika Moyo Baada ya Mumewe Waliyeishi Pamoja kwa Miaka 13 Kutoweka - Tuko.co.ke
May 28, 2023 - Patrick Kibia alitoka nyumbani kwake mjini Meru miezi mitatu iliyopita na hajawahi kuonekana tena, akiacha mkewe Perpetual Kathure katika hali ya wasiwasi.