https://kiswahili.tuko.co.ke/siasa/446745-vitimbi-vyazuka-baada-ya-wajumbe-wa-uda-kudinda-kuchezewa-nyimbo-za-reggae/
Vitimbi Vyazuka Baada ya Wajumbe wa UDA Kudinda Kuchezewa Nyimbo za Reggae Mkutanoni - Tuko.co.ke
Mar 15, 2022 - Kioja kilishuhudiwa wakati wa Kongamano la Kitaifa la Wajumbe wa United Democratic Alliance(UDA) baada ya kupiga kelele kwa kukataa kuchezewa mziki wa reggae.